Amka acha usingizi wa dhambi
pambazuko ni karibu (asema) Bwana aaaa(Yesu),kwani yajayo huwezi yajua sasa
amka naye Bwana Yesu
CHORUS
Wengi wanajivunia kwamba wao wamja
Mungu,lakini matendo yao ni ya asili
ya dhambi,(wajichunguze,wagutuke wasilale asubuhi kumepambazuka x2)x2
Kesha ukiomba ndugu uwe macho pambazuko
ni karibu (asema) Bwana aaaa (Yesu), tubu dhambi zako uhesabiwe haki hujui
mwisho wako ndugu x2
CHORUS
Wengi wanajivunia kwamba wao wamja
Mungu,lakini matendo yao ni ya asili
ya dhambi,(wajichunguze,wagutuke wasilale asubuhi kumepambazuka x2)x2
email--------------eastgospel@gmail.com
No comments:
Post a Comment