Monday, 4 May 2015

THE BEREANS SDA CHURCH CHOIR - ALITEMBEA



Alitembea kwa ujasiri ili afikie uponyaji,alikaza mwendo na kufika pale alipokuwa mkombozi Yesu,aligusa pinde la nguo yake ndipo akapata kupona.  X2

                                                                CHORUS
Imani yake kwake Mwokozi haikuwa ya kusitasita alikazana kufika pale mwisho akakuwa    huru uu,nawe mwenzangu una nafasi, harakisha ungali na muda, ukiwa nayo imani kwake mwisho utakuwa huru  x2

Nawe tembea kwa ujasiri uje kwake Bwana mponyaji, shida zako zote anazitambua leta zote kwake mkombozi yesu,ataondoa zote na kuweka huru mwisho utapata kupona.

                                                         CHORUS

Imani yake kwake Mwokozi haikuwa ya kusitasita alikazana kufika pale mwisho akakuwa    huru uu,nawe mwenzangu una nafasi, harakisha ungali na muda, ukiwa nayo imani kwake mwisho utakuwa huru  x2


 email......eastgospel@gmail.com



No comments:

Post a Comment